Wastaafu Nchini kunufaika na mikopo ya PSPF,TPB

Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu Philemon Luhanjo.

Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu Philemon Luhanjo ameshauri kuwepo kwa mafunzo maalumu kwa wafanyakazi wanaokaribia kustaafu ili kuwajengea uwezo wa kukabiliana na maisha mara baada ya kustaafu kulitumikia taifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS