Wizara yaonya madaktari feki

Mganga mkuu wa serikali Dkt. Donan Mmbando (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na katibu mkuu wizara ya fedha na uchumi Dkt Servacius Likwelile.

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii nchini Tanzania imewaonya watu wanaojiita madaktari na maprofesa bila ya kuwa na sifa hizo huku wakidai kuwa na uwezo wa kutibu magonjwa yasiyotibika ukiwemo ugonjwa wa Ukimwi na kisukari.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS