Wastaafu Nchini kunufaika na mikopo ya PSPF,TPB
Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu Philemon Luhanjo ameshauri kuwepo kwa mafunzo maalumu kwa wafanyakazi wanaokaribia kustaafu ili kuwajengea uwezo wa kukabiliana na maisha mara baada ya kustaafu kulitumikia taifa.

