Mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo - Chadema, Freeman Mbowe.
Baadhi ya viongozi wa chama cha Demokrasia na maendeo nchini Tanzania wameibuka na kudai kwamba chama hicho kimekuwa kikikandamiza demokrasia ya kweli na hivyo kusababisha migogoro isiyo ya lazima.