Juliani kupiga vita ujangili Kenya

Mwanamuziki wa nchini Kenya Juliani

Msanii wa muziki Juliani kutoka nchini Kenya, anatarajiwa kutoa mchango wa aina yake katika shughuli ya kueneza elimu ya umuhimu wa wanyamapori huko Kenya, katika kampeni za kupambana na ujangili ambalo pia ni tatizo la kitaifa Kenya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS