Bobi Wine afiwa na kaka

Msanii wa Uganda Bobi Wine

Kutoka nchini Uganda, msanii wa muziki Bobi Wine ameingia katika majonzi mazito kufuatia kukumbwa na msiba mzito baada ya kaka yake anayejulikana kwa jina James Kayanja Sentamu kufariki dunia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS