Sauti Sol waibua deni lao
Kundi la muziki la Sauti Sol, katika kile kinachotafsiriwa kama ni hasira baada ya video yao mpya ya "Nishike kuanza kupigwa vita na Serikali ya Kenya, wameamua kudai hadharani pesa walizopaswa kulipwa kwa onyesho katika sherehe za miaka 50 ya uhuru.