Mkono naye ajitosa mjadala umri wa mgombea urais Mbunge wa Musoma Vijijini Nimrod Mkono. Mbunge wa Musoma vijijini Nchini Tanzania, Mhe. Nimrod Mkono amesema wakati wa vijana kuongoza nchi bado haujafika ila wanahitaji kushirikiana na wazee katika kulijenga taifa kwa sasa. Read more about Mkono naye ajitosa mjadala umri wa mgombea urais