Mkono naye ajitosa mjadala umri wa mgombea urais

Mbunge wa Musoma Vijijini Nimrod Mkono.

Mbunge wa Musoma vijijini Nchini Tanzania, Mhe. Nimrod Mkono amesema wakati wa vijana kuongoza nchi bado haujafika ila wanahitaji kushirikiana na wazee katika kulijenga taifa kwa sasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS