UNFPA; 18% ya vijana Tanzania wanapanga uzazi

Umati wa wakazi wa Temeke katika tamasha la siku ya maadhimisho ya Kimataifa ya Vijana Duniani

Takwimu za shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani UNFPA tawi la Tanzania zinaonyesha kuwa ni asilimia 17 tu ya vijana wote walio na umri wa zaidi ya miaka 18 ndio wanaotumia uzazi wa mpango

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS