UNFPA; 18% ya vijana Tanzania wanapanga uzazi
Takwimu za shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani UNFPA tawi la Tanzania zinaonyesha kuwa ni asilimia 17 tu ya vijana wote walio na umri wa zaidi ya miaka 18 ndio wanaotumia uzazi wa mpango

