wanawake 24 wanakufa kila siku kwa ujauzito Jumla ya wanawake 24 wanakufa kila siku nchini Tanzania kutokana na matatizo ya uzazi na hivyo kuifanya Tanzania kuwa nchi inayoongoza kwa kuwa na vifo vingi vitokanavyo na matatizo ya uzazi. Read more about wanawake 24 wanakufa kila siku kwa ujauzito