Wakazi Makongo walia na barabara mbovu

Moja ya barabara za Makongo katika manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam ikiwa katika hali mbaya.

Wakazi wa Makongo Juu Kata ya Kawe wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam wameilalamikia serikali kwa kufumbia macho tatizo la ubovu wa barabara kati ya eneo la survey na makongo juu, hali inayochangia kukosekana kwa usafiri wa umma wa uhakika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS