Hofu ya usalama yaathiri wasanii Msanii Nonini wa nchini Kenya Mashambulizi ya milipuko inayosadikiwa kusababishwa na kundi la Al Shabaab nchini Kenya yameendelea kuzorotesha sio tu uchumi na maendeleo ya nchi bali pia kuathiri kwa kiasi kikubwa tasnia ya burudani nchini humo. Read more about Hofu ya usalama yaathiri wasanii