Kongamano kubwa la kijeshi kufanyika Dar
Wakuu wa majeshi kutoka nchi mbalimbali ndani na nje ya Afrika watakutana katika kongamano litakalofanyika mwezi julai jijini Dar es salaam ambapo moja kati ya mambo yatakayozungumziwa ni jinsi ya kukabiliana na changamoto za sasa za ulinzi na usalam

