Kili Music Tour 2014 kuanzia Moshi tarehe 24

Meneja wa Bia ya Kilimanjaro, George Kavishe na baadhi ya wasanii watakaoshiriki katika ziara mwaka 2014

Wasanii nyota mbalimbali wa muziki wa kizazi kipya wanaotamba kwa hivi sasa wanatarajiwa kupamba tamasha kubwa la muziki, Kili Music Tour 2014 ambalo linatarajiwa kuanza kuanza tarehe 24 mwezi huu Mjini Moshi na kuendelea katika mikoa mingine tisa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS