Wizkid kudondosha pati New York Msanii Wizkid wa Nigeria Msanii nyota wa nchini Nigeria Wizkid anayetarajia kusheherekea siku yake ya kuzaliwa manamo tarehe 16 mwezi Julai mwaka huu amepanga kufanya kitu kikubwa na cha kukumbukwa katika siku hiyo muhimu. Read more about Wizkid kudondosha pati New York