Idadi ya wahitimu wanaojiunga na JKT ni ndogo

Baadhi ya wabunge wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakiwa katika mafunzo ya hiari na ya uzalendo katika moja ya kambi za jeshi la kujenga taifa JKT.

Kumekuwa na Idadi ndogo ya wanafunzi waliohitimu kidato cha sita nchini Tanzania wanaojiunga na mafunzo ya Taifa Kujenga Taifa (JKT) kwa mujibu wa sheria kutokana na wanafunzi wengi kuanza masomo mwezi Oktoba katika vyuo mbalimbali vya elimu ya juu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS