Mkuu wa utawala wa shirika la maendeleo la umoja wa mataifa UNDP, Bi. Helen Clarke.
Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), limezitaka serikali katika nchi mbalimbali duniani kuhakikisha zinalinda maliasili za misitu hasa zile zilizo katika hatari ya kutoweka.