Bondia wa Tanzania kurejea na Medali

Mabondia wa Timu ya Taifa ya Ngumi Tanzania Walivyo Katika moja ya mashindano ya ndani ya majaribio

Shirikisho la ngumi za ridhaa nchini Tanzania BFT limesema mabondia wa Tanzania walioko nchi za China na Uturuki wakijiandaa na mashindano ya Jumuiya ya Madola yanayofanyika mwezi ujao nchini Scotland wamejigamba kurejea na medali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS