TRA, COSOTA waagizwa wakutane
Katika jitihada za kuhakikisha kuwa wasanii hapa nchini Tanzania wanatengenezewa mazingira mazuri zaidi ya kufaidika na kazi wanazotengeneza, Serikali imeagiza COSOTA na Mamlaka ya Mapato TRA, kukutana ndani ya siku za kazi kuanzia sasa.