TRA, COSOTA waagizwa wakutane

Mhe Mwigulu Nchemba, Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi

Katika jitihada za kuhakikisha kuwa wasanii hapa nchini Tanzania wanatengenezewa mazingira mazuri zaidi ya kufaidika na kazi wanazotengeneza, Serikali imeagiza COSOTA na Mamlaka ya Mapato TRA, kukutana ndani ya siku za kazi kuanzia sasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS