Size 8 ndani ya kolabo mpya

Msanii wa miondoko ya injili Kenya Size 8

Dashosti ambaye hivi sasa ameachana na muziki wa dunia na kujikita katika muziki wa injili nchini Kenya Size 8 amejiandaa kufanya colabo na msanii mahiri wa nyimbo hizo anayeitwa Willy Paul.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS