COSTECH yaagiza tafiti za kuchochea maendeleo

Mkurugenzi mkuu wa tume ya taifa ya sayansi na teknolojia COSTECH Dkt Hassan Mshinda (kulia) akiwa katika moja ya mikutano ya kujadili ukuaji wa sekta ya sayansi na teknolojia.

Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia COSTECH imewataka wasomi watafiti nchini kufanya tafiti za jinsi teknolojia inavyoweza kutumika katika kupunguza umaskini hususani jinsi ukuaji wa uchumi unavyoweza kuwa na maana katika pato la mtu mmoja mmoja.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS