Filamu ya 'Kisoda' kutua Bongo

muigizaji wa bongo movies nchini Irene Uwoya

Muigizaji nyota wa filamu nchini Tanzania Irene Uwoya tayari ameachia kidokezo cha filamu yake mpya aliyoibatiza jina 'Kisoda' ambayo imesheheni nyota wakali nchini akiwemo nguli wa filamu Mzee Majuto.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS