Mkaguzi na mdhibiti mkuu wa serikali nchini Tanzania CAG Ludovick Utouh.
Mapendekezo ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Ludovick Utouh, ya kuitaka Serikali kutowateua wabunge kuwa wajumbe wa bodi za mashirika ya Umma hayajatekelezwa kwa miaka mitatu mfululizo.