Rabbit aungana na Waislam msanii Rabbit wa nchini Kenya Msanii Rabbit wa nchini Kenya amesema kuwa pamoja na kwamba yeye ni muumini wa dhehebu wa dini ya kikristo lakini ameamua kushirikiana na waumini wa dini ya kiislam katika mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan. Read more about Rabbit aungana na Waislam