Migogoro mingi mahakamani inahusu ardhi - LHRC

Mkurugenzi wa Idara ya Maboresho na Ushawishi wa kituo cha Sheria na haki za Banadamu LHRC Bw. Harold Sungusia.

Migogoro ya ardhi nchini Tanzania imetajwa kuchukua asilimia 41 kati ya migogoro mbalimbali katika maeneo mengi nchini na kusababisha vifo na mamilioni ya mali kupotea.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS