Cindy anyanganywa haki ya kumlea mwanae
Staa wa muziki wa nchini Uganda, Mwanadada Cindy Sanyu amenyanganywa haki ya malezi ya binti yake baada ya baba wa mtoto huyo, Mario kufanikiwa kuishawishi mahakama kuwa yeye ndiye mtu sahihi wa kuweza kumlea mtoto huyo baada ya wawili hawa kutengana
