UKAWA haitasambaratika: Dkt. Slaa

Dkt Wilbroad Slaa akihutubia umati wa wananchi  mjini Arusha

Katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Dkt Wilbroad Slaa amesema Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA kamwe haitasambaratika kwa sababu ya kupigania madaraka.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS