UKAWA haitasambaratika: Dkt. Slaa Dkt Wilbroad Slaa akihutubia umati wa wananchi mjini Arusha Katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Dkt Wilbroad Slaa amesema Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA kamwe haitasambaratika kwa sababu ya kupigania madaraka. Read more about UKAWA haitasambaratika: Dkt. Slaa