Watuhumiwa wa mabomu Arusha, kizimbani tena

Watuhumiwa hao wakiondolewa mahakamani

Watuhumiwa nane (8) kati ya 16 wanaokabiliwa na kesi ya kuhusika  ulipuaji wa bomu katika baa ya Night Pack Arusha na mtandao wa kigaidi wamepandishwa tena kizimbani katika mahakama kuu  kanda ya Arusha na kusomewa kwa mara ya pili mashtaka.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS