AU lawamani sakata la utekaji watoto Nigeria

Baadhi ya wasichana waliotekwa nyara na wapiganaji wa kundi la Kiislamu la Boko Haram, kutoka jimbo la Kaskazini Mashariki la Borno.

Mashirika yasiyokuwa ya kiserikali yanayojishughulisha na haki za wanawake na watoto nchini Tanzania, yameutaka umoja wa Afrika kuingilia kati kuwezesha kuachiwa kwa wanafunzi zaidi ya 200 waliotekwa nchini Nigeria na kikundi cha Boko Haram.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS