Wazee wa Yanga walia na wanachama wasaliti.

Katibu wa Baraza la Wazee wa Yanga-Ibrahimu Akilimali

Baraza la wazee wa klabu ya Yanga wamelaani kitendo cha baadhi ya wanachama wa klabu hiyo kuendesha kampeni za chini chini kupinga kitendo cha nkutano mkuu wa June Mosi kuuongezea muda wa mwaka mmoja uongozi wa sasa wa klabu hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS