Refigah akamilisha taratibu za ndoa Kimila

Refigah

Boss wa lebo ya muziki ya Grandpa ya nchini Kenya, hatimaye amekamilisha rasmi taratibu za kiutamaduni za ndoa yake na kuwa tayari kuanza rasmi maisha mapya na mkewe, na hii ikiwa ni baada ya sherehe kubwa ya harusi yake iliyofanyika mwezi uliopita

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS