UKAWA kutoshiriki tume ya Sitta kuhusu katiba
Siku moja baada ya Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, kwa kushirikiana na Makamu Mwenyekiti, Samia Hassan Suluhu, kuteua wajumbe 30 wa kamati ya Mashauriano ,hii leo Viongozi wanaounda Umoja wa Katiba ya wananchi Ukawa wamesema ha

