Bei za vyakula hazijapanda mfungo wa Ramadhani Vyakula kama vinavyoonekana sokoni. Siku mbili kabla ya kuanza kwa mfugo wa Ramadhani,bei za bidhaa mbali mbali zinazotumika zaidi kwa mfungo wa huo hazijapanda tofauti na miaka ya nyuma. Read more about Bei za vyakula hazijapanda mfungo wa Ramadhani