Ranchi ya Mkata kwenda kwa mwekezaji Mmarekani

Waziri wa Maendeleo ya mifugo na uvuvi nchini Tanzania Dkt Titus Kamani.

Serikali imesema inakusudia kutoa kwa wawekezaji wa Kimarekani, eneo la ranchi ya taifa la mkata lililopo wilayani kilosa mkoani Morogoro nchini Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS