Wafanyakazi Chang'ombe hatarini kuathirika kiafya

Maji machafu yakitiririka jirani na ukuta wa kiwanda kimoja jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

Wafanyakazi wa baadhi ya viwanda mbalimbali binafsi vilivyopo Mtaa wa Dakawa,Chang'ombe Manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam, wako katika hatari kubwa ya kupata madhara ya kiafya kutokana na maeneo hayo ya viwanda kuzingirwa na maji mengi, machafu na yenye kutoa harufu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS