Ranchi ya Mkata kwenda kwa mwekezaji Mmarekani Waziri wa Maendeleo ya mifugo na uvuvi nchini Tanzania Dkt Titus Kamani. Serikali imesema inakusudia kutoa kwa wawekezaji wa Kimarekani, eneo la ranchi ya taifa la mkata lililopo wilayani kilosa mkoani Morogoro nchini Tanzania. Read more about Ranchi ya Mkata kwenda kwa mwekezaji Mmarekani