Serikali kutumia bil 20 ujenzi nyumba za walimu
Serikali ya Tanzania imesema kupitia mpango wa maendeleo ya elimu ya sekondari kwa kushirikiana na Benki ya Dunia inaendelea na ujenzi wa nyumba za walimu katika halmashauri 120 katika kuboresha mazingira ya ufundishaji kwa walimu.

