Uchaguzi mkuu Simba kufanyika kesho June 29

Baadhi ya wanachama wa kabu ya Simba wakiwa jukwaani kushuhudia moja ya michezo ya timu hiyo.

Hatimaye baada ya mvutano wa takribani majuma matatu katika mchakato wa kuelekea uchaguzi mkuu wa viongozi wa klabu ya soka ya Simba, kesho uchaguzi huo uliokuwa na vibweka vingi katika mchakato wake utafanyika jijini Dar es salaam

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS