Kansiime aula nchini Kenya

Anne Kansiime akifanya yake stejini

Msanii mkali wa vichekesho kutoka Uganda, Anne Kansiime amepata shavu jingine kubwa huko nchini Kenya kwa kuchaguliwa kuwa balozi wa kampeni zenye lengo la kuhamasisha wakenya kujifunza zaidi kuhusiana na sera za bima.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS