Kansiime aula nchini Kenya Anne Kansiime akifanya yake stejini Msanii mkali wa vichekesho kutoka Uganda, Anne Kansiime amepata shavu jingine kubwa huko nchini Kenya kwa kuchaguliwa kuwa balozi wa kampeni zenye lengo la kuhamasisha wakenya kujifunza zaidi kuhusiana na sera za bima. Read more about Kansiime aula nchini Kenya