Kafulila aburutwa mahakamani sakata la IPTL
Sakata la Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania (IPTL), kutuhumiwa kuchota fedha katika akaunti ya Escrow, limechukua sura mpya baada ya kampuni hiyo kuamua kumshtaki mahakamani Mbunge wa Kigoma Kusini mhe. David Kafulila.

