Kafulila aburutwa mahakamani sakata la IPTL

Msemaji wa chama cha NCCR Mageuzi ambaye pia ni mbunge wa Kigoma Kusini David Kafulila.

Sakata la Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania (IPTL), kutuhumiwa kuchota fedha katika akaunti ya Escrow, limechukua sura mpya baada ya kampuni hiyo kuamua kumshtaki mahakamani Mbunge wa Kigoma Kusini mhe. David Kafulila.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS