Octopizzo kuwarusha wakimbizi

Rapa Octopizzo akipanda ndege

Rapa Octopizzo amechaguliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Wakimbizi, UNHCR nchini Kenya, kutoa burudani pamoja na kuzungumza na wakimbizi hao katika kambi za Daadab na Kakuma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS