Terrence afurahishwa na mapokezi
Muigizaji nyota wa filamu nchini Marekani Terrence Jenkins ambaye ametua Jijini Dar es Salaam kufuatia mualiko wa Rais Jakaya Kikwete kwa lengo la kuendesha semina maalum kwa wasanii amefurahishwa na mapokezi makubwa ya mashabiki nchini.

