Mafunzo ya vitendo yaanza kozi ya makocha kuogelea

Baadhi ya wanamichezo wa kuogelea wakichuana katika michuano iliyopita ya taifa.

Kozi ya makocha wa mchezo wa kuogelea iliyoanza june 20 mwaka huu imeendelea hii leo kwa mafunzo ya vitendo yaliyofanyika katika bwawa la kuogelea la shule ya sekondari Shaban Robert jijini Dar es salaam

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS