Serikali yafafanua kuhusu ulinzi kwa wabunge

Waziri wa nchi, ofisi ya waziri mkuu (sera, uratibu na bunge) William Lukuvi.

Serikali ya Tanzania imebainisha kuwa suala linalolalamikiwa na baadhi ya wabunge la kutopewa ulinzi na serikali sio la kiserikali bali ni la muhimili wenyewe kuamua kupendekeza sheria ya aina hiyo katika sera zake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS