Kigali wakubali kazi na Cindy

kundi la Urban Boys nchini Rwanda

Baada ya taarifa kutoka kwa msanii Cindy wa Uganda kuelezea nia ya kufanya kolabo na kundi nyota la nchini Rwanda-Kigali, tayari kundi hilo limeweka taarifa wazi kwa mashabiki wao kuwa wamekubali kufanya nae kazi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS