Malfred afanya kweli Ujerumani Msanii wa bongo Malfred Alfred Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Malfred Alfred ameweza kukonga nyoyo za mashabiki katika tamasha kubwa la muziki liliobatizwa jina Jugend-festival Iller-tissen 2014 lililofanyika hivi karibuni nchini Ujerumani. Read more about Malfred afanya kweli Ujerumani