Malfred afanya kweli Ujerumani

Msanii wa bongo Malfred Alfred

Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Malfred Alfred ameweza kukonga nyoyo za mashabiki katika tamasha kubwa la muziki liliobatizwa jina Jugend-festival Iller-tissen 2014 lililofanyika hivi karibuni nchini Ujerumani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS