Polisi inamsaka kinara wa wizi katika mabenki

Mkuu wa polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam, kamishna wa polisi Suleiman Kova.

Jeshi la polisi jijini Dar es Salaam nchini Tanzania linamsaka mtu mmoja liliyemtambulisha kwa jina la Ronald Molel, anayetuhumiwa kuhusika na mtandao wa uhalifu, hususani wizi wa kiasi kikubwa cha pesa katika mabenki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS