Polisi inamsaka kinara wa wizi katika mabenki
Jeshi la polisi jijini Dar es Salaam nchini Tanzania linamsaka mtu mmoja liliyemtambulisha kwa jina la Ronald Molel, anayetuhumiwa kuhusika na mtandao wa uhalifu, hususani wizi wa kiasi kikubwa cha pesa katika mabenki.