Madtraxx amtupia dongo Vera

Msanii wa Kenya Vera Sidika

Mtayarishaji, Msanii wa muziki na pia DJ, Madtraxx kupitia mtandao ametoa ujumbe ambao unahisiwa kuelekezwa kwa mwanadada Vera Sidika, kwa ajili ya kuponda hatua yake ya kuingia gharama na kubadili rangi halisi ya ngozi yake ili kuwa mweupe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS