Takwimu yafafanua ongezeko la umri wa kuishi

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiteta jambo na mkurugenzi mkuu wa ofisi ya taifa ya takwimu NBS Dkt Albina Chuwa (kulia) wakati wa uzinduzi wa chapisho kuu la sensa ya watu na makazi jijini Dar es Salaam jana.

Ofisi ya taifa ya takwimu imefafanua sababu zilizochangia kuongezeka kwa umri wa kuishi nchini, kutoka kiwango cha awali cha miaka hamsini hadi umri wa miaka sitini na mmoja, kama ilivyobainishwa kwenye chapisho kuu la sensa ya watu na makazi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS