Ulinzi waimarishwa katika mahakamani Arusha Ulinzi mkali uliimarishwa viwanja vya Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha leo asubuhi, huku waandishi wa habari wakipekuliwa mikoba yao kabla ya kuingia ndani ya Chumba cha mahakama ya hakimu mkazi Arusha. Read more about Ulinzi waimarishwa katika mahakamani Arusha