Waziri wa maji na umwagiliaji nchini Tanzania Profesa Jumanne Maghembe.
Utafiti uliofanywa na Wizara ya Maji na Umwagiliaji nchini Tanzania kuhusu uchunguzi wa vyanzo vya maji umebaini kuwa asilimia 32 ya vyanzo vyote nchini havijaendelezwa kwa kuvuna maji.