Vyuo vitoe kozi zinazokidhi soko la ajira

Waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi Dkt Shukuru Kawambwa.

Vyuo vya Elimu ya Juu nchini vimetakiwa kubuni mitaala itakayowezesha kuwandaa vijana kuwa na utaalamu unaohitajika katika soko la ajira, kuliko ilivyo sasa ambapo wahitimu wengi humaliza vyuo huku wakiwa na vigezo visivyohitajika na waajiri.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS