Rais Kikwete ataka medali michuano ya madola

Rais Jakaya Kikwete akiwa na baadhi ya viongozi pamoja wachezaji wa Tanzania watakaoshiriki michuano ya madola.

Rais Jakaya Kikwete amewataka wanamichezo wa Tanzania wanaotaraji kutuwakilisha katika michuano ya jumuiya ya madola, kuhakikisha wanapambana vyakutosha na kwa uwezo wao wote ili waweze kurejea na medali katika michuano hiyo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS