Rais Kikwete ataka medali michuano ya madola
Rais Jakaya Kikwete amewataka wanamichezo wa Tanzania wanaotaraji kutuwakilisha katika michuano ya jumuiya ya madola, kuhakikisha wanapambana vyakutosha na kwa uwezo wao wote ili waweze kurejea na medali katika michuano hiyo

