FA: Mfalme inaongea ukweli, Video kufanyika Nai
Baada ya kuachia ngoma ya Mfalme ambayo mitaa imeielewa kwa kiasi kikubwa, Mwana FA ameweka wazi kuwa, wazo la kusuka ngoma hii ni kuweka wazi mambo yanayoizunguka jamii, kuikumbusha kuwa kadri kila mtu anavyojiona kuwa hana, kuna ambao hawana zaidi.