Watoto wawili wafa maji mkoani Tanga

Kamanda wa polisi Mkoa wa Tanga Mihayo Msikhela.

WATOTO wawili wamefariki dunia baada ya kuzama katika shimo la maji ya mvua lililokuwa limechimbwa kwa ajili ya matumizi ya choo huku mwingine akikutwa amefariki ndani ya shimo la kuhifadhia maji ya mvua.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS