UNICEF kushiriki kutokomeza kipindupindu Tanzania Muwakilishi wa UNICEF nchini Dkt. Jama Gulaid Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF limeshirikiana na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Kitengo cha Elimu ya Afya kwa Umma katika kampeni ya kuelimisha kuhusu kipindupindu. Read more about UNICEF kushiriki kutokomeza kipindupindu Tanzania