Watoto wawili wafa maji mkoani Tanga Kamanda wa polisi Mkoa wa Tanga Mihayo Msikhela. WATOTO wawili wamefariki dunia baada ya kuzama katika shimo la maji ya mvua lililokuwa limechimbwa kwa ajili ya matumizi ya choo huku mwingine akikutwa amefariki ndani ya shimo la kuhifadhia maji ya mvua. Read more about Watoto wawili wafa maji mkoani Tanga