Bunge laanza rasmi hii leo mjini Dodoma

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai

Mkutano wa pili wa Bunge la 11 umeanza hii leo mjini Dodoma pamoja na shughuli nyingine wabunge watajadili mpango wa maendeleo awamu ya pili na hotuba aliyoitoa Rais Dkt. Magufuli huku mjadala wa kuhusu hali ya kisiasa Zanzibar ukitarajiwa kuibuka.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS