Samatta kukipiga Ulaya Mshambuliaji wa Tanzania anaechezea Klabu ya Congo DR, TP Mazembe Mbwana Samatta yuko mbioni kwenda kucheza soka barani Ulaya katika Klabu kubwa ya nchini Ubelgiji inayojulikana kama KRC Genk. Read more about Samatta kukipiga Ulaya