Leicester City, Man city kuwania ukinara EPL

Ligi kuu ya soka nchini Uingereza

Jumamosi hii klabu ya Manchester City na Leicester City zina nafasi murua ya kutwaa uongozi wa Ligi Kuu nchini Uingereza ikiwa watafanya vyema kwenye Mechi zao kwa kuwa Vinara Arsenal wao wanacheza Jumapili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS