Serena ndiye mbabe wa Sharapova

Mchezaji Serena Williams ameendeleza ubabe mbele ya Maria Sharapova baada ya ushindi alioupata kwenye robo fainali .

Nyota wa tenesi Serena Williams ameendelea kumtambia Maria Sharapova baada ya kumshinda katika michuano ya wazi Australia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS