CCM Iringa kitimtim,ni baada ya kushindwa uchaguzi

Mwenyekiti wa CCM, mkoa wa Iringa Bibi. Jescar Msambatavangu

Iringa mjini hali si shwari ndani ya Chama cha Mapinduzi ambapo tangu kumalizika kwa mchakato wa uchaguzi huo kumekuwa na shutuma na kutuhumiana kwa wazi wazi baina ya viongozi wa chama hicho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS