Kenya wadaiwa kukiukuka mkataba wa EAC

Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilayani Mkinga Bi. Mboni Mgaza

Serikali imeombwa kuingilia kati kufuatia baadhi ya wafanyabishara wa nchi jirani ya Kenya kwenda kinyume na makubaliano ya biashara ya mazao ya misitu baina ya nchi hizo mbili katika soko huru la jumuiya ya Afrika Mashariki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS