Wanazuoni waonesha wasiwasi kuhusu Zanzibar

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba

Wanazuoni na Wachambuzi wa masuala ya siasa wameonyesha hali ya wasiwasi wa hali ya kisiasa visiwani Zanzibar baada ya Tume ya Uchaguzi visiwani humo kutaka uchaguzi urudiwe na kusema kuwa hali hiyo inaweza kusababisha mgogoro mkubwa visiwani humo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS