Stara Thomas akwazwa na Mh. Sugu

Stara Thomas, nyota mkongwe wa muziki ametoa ya moyoni kuhusiana na namna ambavyo msanii na mwanasiasa maarufu sasa, Joseph Mbilinyi 'Sugu' kumuwekea kinyongo 'cha kisiasa' na kumpita bila kumsalimia,licha ya mchango wake katika tasnia ya muziki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS