Wanafunzi wagoma baada mwalimu mkuu kushushwa cheo
Wanafunzi wa shule ya sekondari Buruba katika manispaa ya Shinyanga, wamegoma kuingia darasani kuendelea na masomo kwa madai ya kupinga kushushwa cheo aliyekuwa mkuu wao wa shule, Alexander Yegera, kwa miaka 20 na kuwa mwalimu wa kawaida.

