Wanafunzi wagoma baada mwalimu mkuu kushushwa cheo

Wanafunzi wa shule mbalimbali za sekondari Busurwa, Uhuru, Mazinge, Buluba, Chamaguha, Kizumbi,

Wanafunzi wa shule ya sekondari Buruba katika manispaa ya Shinyanga, wamegoma kuingia darasani kuendelea na masomo kwa madai ya kupinga kushushwa cheo aliyekuwa mkuu wao wa shule, Alexander Yegera, kwa miaka 20 na kuwa mwalimu wa kawaida.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS