TAKUKURU kukamilisha uchunguzi kesi za ufisadi

Kaimu Mkurugenzi mkuu wa Takukuru Kamishna Valentino Mlowola

Taasisi ya kuzuia na kupambana rushwa nchini (TAKUKURU), imesema kuwa inashughulikia kukamilisha uchunguzi wa kesi 36 za ufisadi na Rushwa kubwa ambazo zimeliingizia taifa hasara ya matrilioni ya shilingi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS