TAKUKURU kukamilisha uchunguzi kesi za ufisadi
Taasisi ya kuzuia na kupambana rushwa nchini (TAKUKURU), imesema kuwa inashughulikia kukamilisha uchunguzi wa kesi 36 za ufisadi na Rushwa kubwa ambazo zimeliingizia taifa hasara ya matrilioni ya shilingi.

