"Simba yasajili kiulaini bila presha"- Poppe Kukosa upinzani wa usajili baada ya mahasimu zao Yanga kujaza wachezaji, uongozi wa klabu ya Simba umesema unasajili kwa kujinafasi bila ya kubembeleza mchezaji. Read more about "Simba yasajili kiulaini bila presha"- Poppe