Matokeo ya awali na Mazembe ni historia -Niyonzima

Kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima (kushoto) akitafuta njia ya kumtoka kiungo wa TP Mazembe, Nathan Sinkala

Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mnyarwanda, Haruna Niyonzima amesema, licha ya kupoteza michezo miwili mfululizo hawawezi kukata tamaa na matokeo yaliyopita yanabaki historia kwao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS