Wekezeni kwa vijana kufikia Malengo-Alhendawi

Mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu vijana, Ahmad Alhendawi

Mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu vijana,Ahmad Alhendawi amesema wakati umefika wa kuacha kurushiana lawama kuhusu chanzo cha ukosefu wa ajira kwa vijana duniani na badala yake hatua stahili zichukuliwe ili kuweza kufanikisha malengo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS